Back to home

Mgogoro wa umiliki wa ardhi ekari 152 Ruai waendelea kuzua taharuki

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 23, 2026
43m ago
Mgogoro umeendelea kuhusu umiliki wa kipande cha ardhi cha ekari 152 katika mtaa wa Chokaa, eneo la Ruai jijini Nairobi. Utata wa umiliki wa ardhi hiyo unahusisha kampuni tatu zinazodai kuwa wamiliki halali wa eneo hilo. Mgogoro huo sasa umegeuka na kuwa tishio kwa usalama wa wah
Advertisement