Back to home

Familia Trans Nzoia yataka serikali kueleza hatma ya Wakenya waliokwenda Urusi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 25, 2026
1h ago
Familia moja katika kaunti ya Trans-Nzoia County sasa inaitaka serikali kuweka wazi majina ya Wakenya walioelekea Russia kupigania jeshi la taifa hilo.
Advertisement