Back to home
Familia zaomba serikali iwarejeshe wakenya wanane waliofungwa Libya
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Usiku wa leo, familia za Wakenya wanane waliokwama nchini Libya zimeiomba serikali kuingilia kati na kuwasaidia kuwarejesha nyumbani.
Watu hao, ambao walielekea Libya kutafuta ajira, kwa sasa wanasemekana kuwa gerezani mjini Benghazi.
Kumekuwa na madai kuwa kile kilichoanza kam
Advertisement
Advertisement





