Back to home
Murkomen atangaza kuboreshwa kwa Chuo cha kiganjo kuwa Chuo kikuu cha polisi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen ametangaza mpango wa serikali wa kukipandisha hadhi Chuo cha Mafunzo cha Kiganjo kuwa chuo kikuu cha polisi.
Ambapo maafisa wa polisi sasa wataweza kusomea kozi za shahada wakiwa katika maeneo yao ya utendakazi.
Akizungumza alipokitembelea c
Advertisement
Advertisement





