Back to home
Wadau Waelimisha Jamii Kufuatia Kuongezeka kwa Mimba za Mapema Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)May 25, 2026
1h ago
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wa shule za msingi na upili, hasa katika Kaunti ya Kajiado County, vimeongezeka huku wadau wa elimu wakisema ukosefu wa sodo na elimu kuhusu afya ya hedhi umechangia kwa kiwango kikubwa tatizo hilo.
Advertisement
Advertisement





