Back to home
Wataalamu Laikipia Magharibi Wataka Mafunzo ya Hedhi Kuimarishwa kwa Wasichana
video
C
Citizen TV (Youtube)May 25, 2026
1h ago
Kundi la wataalamu na wasomi katika eneobunge la Laikipia West wametoa wito wa juhudi za pamoja katika kutoa mafunzo kuhusu hedhi kwa wasichana wachanga kwa kuhusisha wanajamii wote.
Advertisement
Advertisement





