Back to home
Wafanyakazi hewa zaidi ya 1,000 wachunguzwa katika kaunti ya Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Serikali ya kaunti ya Bungoma yabainika kuwa ina wafanyakazi hewa zaidi ya 1,000 hali iliyosababisha baadhi ya maafisa wasimamizi katika vitengo husika kusimamishwa kazi kwa muda na uchunguzi kuanzishwa.
Advertisement
Advertisement





