Back to home
Kilo moja ya kahawa yauzwa kwa ksh.150 Kirinyaga
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Wakulima katika kaunti ya Kirinyaga wasema kuwa wanafaidika na bei nzuri ya kahawa huku wakisisitiza kuwa kuimarika kwa bei ya kahawa ambayo imefika shilingi 150 kwa kilo, kunawapa motisha ya kuongeza uzalishaji.
Advertisement
Advertisement





