Back to home
Mswada wa fedha
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Mashirika mbalimbali yaendelea kuwasilisha maoni yao kuhusu mswada wa fedha wa mwaka wa 2026/ 2027mbele ya kamati ya bunge ya fedha na mipango hapa jijini Nairobi.
walioko hivi sasa ni waakilishi kutoka Chama cha Wahasibu ACCA.
Advertisement
Advertisement





