Back to home

Jamii za walio wachache zapongeza hatua ya kuondoa ukaguzi katika kaunti ya Laikipia

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 26, 2026
1h ago
Jamii za walio wachache katika kaunti ya Laikipia zasifu hatua ya serikali ya kuwapa vitambulisho bila kufanyiwa uchunguzi ambao wasema ulikuwa kikwazo kikuu kwao chao kupata stakabadhi hii muhimu.
Advertisement