Back to home
Majiji ya New York na New Jersey yanapambwa tayari kwa Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
2h ago
Majiji ya New York na New Jersey kule marekani yanajiandaa kuangaziwa kimataifa kwa kombe la dunia la FIFA 2026 katika uwanja uliopewa jina la New York New Jersey huko East Rutherford, unaojulikana nje ya mashindano ya fifa kama uwanja wa Metlife.
Advertisement
Advertisement



