Back to home
Mwanaharakati Ezekiel Kyama ajitokeza tena miaka miwili baada ya vurugu za bunge
video
C
Citizen TV (Youtube)May 28, 2026
1h ago
Ni takriban miaka miwili baada ya waandamanaji kuvamia bunge wakipinga kupitishwa kwa mswada wa fedha wa mwaka 2024. Hata hivyo, video ya kijana mmoja aliyegonga vichwa vya habari kwa kuingia bungeni na hata kujirekodi akitoa ujumbe kwa Spika wa bunge haijasahaulika.
Hata hivyo,
Advertisement
Advertisement





