Back to home
Mbunge Joshua Kandie apendekeza kuajiriwa kwa wanasaikolojia katika shule za upili
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 2, 2026
2h ago
Mbunge wa Baringo ya kati, Joshua Kandie, sasa amependekeza kuajiriwa kwa wanasaikolojia katika shule za upili kutokana na visa vinavyoongezeka vya utovu wa nidhamu na migomo miongoni mwa wanafunzi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as
Advertisement
Advertisement





