Back to home

Wasanii wa Samburu wafanya matembezi ya amani Maralal

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
1h ago
Wasanii katika kaunti ya Samburu wafanya matembezi ya amani mjini Maralal ili kutoa hamasisho kuhusu ongezeko la ugonjwa wa figo kaunti hiyo. Wasanii hao wazungumzia gharama ya juu ya matibabu na kuhimiza serikali ya kaunti ya Samburu kuboresha huduma za matibabu ya ugonjwa huo.
Advertisement