Back to home
Achani aongoza kuapishwa kwa makamishna wapya wa bodi ya uajiri Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
1h ago
Gavana wa Kaunti ya Kwale Fatuma Achani pamoja na Naibu wake Chirema Kombo wameongoza hafla ya kuapishwa kwa makamishena wapya wa bodi ya uajiri wa Kaunti ya Kwale katika Makao Makuu ya Kaunti ya Kwale.
Advertisement
Advertisement





