Back to home
Manaibu Kamishna wahimizwa kutekeleza majukumu kwa uadilifu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2026
2h ago
Serikali imewataka Manaibu Kamishna wa Kaunti walioteuliwa hivi karibuni kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadilifu na kujitolea ili kuimarisha usalama na uratibu wa huduma za serikali mashinani. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa uzinduzi wa mafunzo elekezi kwa maafisa hao,
Advertisement
Advertisement





