Back to home

Kampuni 13 kutoka Italia zakutana wa wadau wa sekta ya kilimo; zalenga kuongeza usalama wa chakula

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 30, 2026
1h ago
Kila mwaka, Afrika hupoteza kati ya asilimia 30 na 50 ya mazao yake ya kilimo kutokana na changamoto za uhifadhi, uchakataji na ufungashaji. Ili kusaidia kukabiliana na hali hiyo, kampuni 13 kutoka Italia zinazobobea katika teknolojia za kilimo na uchakataji wa chakula zimekutana
Advertisement