Back to home
Watu watatu wafariki wakijaribu kufungua mfumo wa maji taka Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2026
2h ago
Watu watatu wafariki katika mazingira ambayo bado hayajabainika baada ya kujaribu kufungua mfumo wa maji taka katika eneo la Satellite kando ya Barabara ya Kaveria Lenana Road. Mamlaka husika zimeanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha tukio hilo na mazingira yaliyopelekea vifo hivy
Advertisement
Advertisement





