Back to home
Wanawake wawezeshwa kiuchumi kupitia NGAF Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2026
3h ago
Makundi ya akina mama katika eneo la kisima Samburu magharibi, yapigwa jeki kwa kupewa mahema na viti vya kukodisha kutoka hazina ya NGAF, ili kuongeza mapato yao. Akina mama hao waelezea kusakamwa na mawimbi mazito ya mila pamoja na gharama ya maisha.
Advertisement
Advertisement





