Back to home
Kamishna wa kaunti ya Isiolo aagiza kuhamishwa kwa polisi katika Kituo cha Polisi cha Isiolo Central
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Kamishna wa Kaunti ya Isiolo, Chaunga Mwachaunga, aagiza kuhamishwa kwa maafisa wote wa Polisi katika Kituo cha Polisi cha Isiolo Central, awalaumu kwa kushindwa kudhibiti ongezeko la uhalifu na kuhakikisha usalama wa wakazi pamoja na mali yao.
Advertisement
Advertisement




