Back to home
Serikali ya kaunti ya Kericho yapuuza kuwa huduma zimetatizwa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Serikali ya kaunti ya Kericho yakanusha taarifa kuwa hospitali ya rufaa ya kericho imefungwa kufuatia mgomo wa madaktari uendeleao licha ya baadhi ya wakazi kufika hospitali hiyo na kukosa huduma
Advertisement
Advertisement




