Back to home

Wabunge washangazwa na utapeli wa simu magerezani

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
2h ago
Katibu katika Idara ya Kurekebisha Tabia Salome Beacco ameshindwa kuelezea wabunge jinsi wafungwa wanavyopata simu za rununu gerezani ambazo wanatumia kuwapora Wakenya. Wabunge wanachama wa Kamati ya Uhasibu Bungeni wameshangazwa na kukamatwa kwa maafisa wawili wa magereza kwa ku
Advertisement