Back to home

Upinzani wamshambulia Rais Ruto kufuatia matamshi ya hivi majuzi yaliyomlenga rais mstaafu Uhuru

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 3, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani jumuishi wamemshambulia Rais William Ruto kufuatia matamshi ya hivi majuzi yaliyomlenga Rais mstaafu Uhuru Kenyatta yaliyotolewa na Katibu Mkuu wa UDA Hassan Omar, wakisisitiza kuwa Rais hawezi kujitenga na kauli zinazotolewa na viongozi wa chama anachokiong
Advertisement