Back to home

Seneta Murango atishia kuelekea mahakamani kupinga ada ya mauzo ya chai

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 4, 2026
2h ago
James Kamau Murango amesema ataelekea mahakamani iwapo serikali haitafuta ada ya asilimia 0.8 inayotozwa kwa wanunuzi wa majani chai nchini.
Advertisement