Back to home
FKF yataka maslahi ya wachezaji kupewa kipaumbele
video
C
Citizen TV (Youtube)June 5, 2026
1h ago
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (FKF) Hussein Mohammed ametaka maslahi ya wachezaji kupewa kipaumbele katika kukuza mchezo wa soka barani Afrika. Alizungumza katika kongamano la Afrika la FIFPRO 2026 hapa jijini Nairobi.
Advertisement
Advertisement




