Back to home

Viongozi wa Bomet wataka mazungumzo ya kitaifa kuhusu misukosuko shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 8, 2026
58m ago
Viongozi kutoka kaunti ya Bomet wanataka washikadau wote kwenye sekta ya elimu waitishe mazungumzo ya dharura baina ya wanafunzi,walimu na wazazi kuhusiana na ongezeko la visa vya migomo katika shule mbalimbali nchini. Wakiongozwa na mbunge wa Bomet kati Richard Kilel,viongozi ha
Advertisement