Back to home
Shule 15 zafungwa Narok huku wadau wakitaka ushirikiano kuimarisha nidhamu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Serikali kuu imethibitisha kufungwa kwa shule 15 katika Kaunti ya Narok pekee, hatua iliyolenga kuzuia mikasa zaidi kufuatia ongezeko la visa vya utovu wa nidhamu na uhalifu shuleni.
Advertisement
Advertisement




