Back to home

Shule 15 zafungwa Narok huku wadau wakitaka ushirikiano kuimarisha nidhamu

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 9, 2026
1h ago
Serikali kuu imethibitisha kufungwa kwa shule 15 katika Kaunti ya Narok pekee, hatua iliyolenga kuzuia mikasa zaidi kufuatia ongezeko la visa vya utovu wa nidhamu na uhalifu shuleni.
Advertisement