Back to home

Wanafunzi wa UoN wapinga ujenzi wa kituo cha karantini cha Ebola Laikipia

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 9, 2026
1h ago
Wanafunzi katika chuo kikuu cha Nairobi wamejitokeza kupinga vikali ujenzi wa kituo cha Karantini cha Ebola katika eneo la Nanyuki kwa madai kuwa hatua hii itahatarisha sekta ya Elimu na kuwalazimu wengi kurejea nyumbani. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement