Back to home
Washikadau wakutana Kilifi kujadili masuala ya baharini
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
1h ago
Washikadau wa maswala ya baharini wakongamana mjini Kilifi ili kutoa mapendekezo yao kuhusu mpango wa uchumi wa baharini, uhifadhi wa mazingira na kupunguza migogoro mbali mbali ya rasilimali za bahari katika mwambao wa Pwani.
Advertisement
Advertisement





