Back to home
Wazazi watakiwa kuimarisha malezi kukabiliana na mmomonyoko wa maadili
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
1h ago
Wadau wa elimu na viongozi wa jamii wameeleza wasiwasi kuhusu changamoto za malezi ya watoto, wakisema hali hiyo imechangia kuongezeka kwa mienendo potovu na kudorora kwa maadili miongoni mwa vijana. Wametoa wito kwa wazazi kuchukua nafasi kubwa zaidi
Advertisement
Advertisement





