Back to home
Wakazi wa Siyu wakashifu madai ya kuvamiwa na kupigwa na maafisa wa usalama
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
1h ago
Wakazi wa kijiji cha Siyu Kisiwa cha Pate eneo bunge la Lamu Mashariki kaunti ya Lamu wamekashifu vikali tukio la watu Zaidi ya 30 kuvamiwa na kupigwa na maafisa wa usalama . Rahma Rashid anaarifu Zaidi
Advertisement
Advertisement





