Back to home

Miili saba ya Mwingi yasafirishwa Nairobi kwa utambuzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 11, 2026
2h ago
Miili saba iliyopatikana imezikwa eneo la Mwingi, kaunti ya Kitui, imesafirishwa hadi Makafani ya City hapa jijini Nairobi. Miili hiyo ilisafirishwa usiku wa manane huku shughuli ya kuitambua ikitarajiwa kuanza wiki hii. Maswali sasa yakiibuka kuhusu watu hao ni kina nani na miil
Advertisement