Back to home

Bajeti ya Mbadi yaibua hisia mseto miongoni mwa Wakenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 11, 2026
2h ago
Bajeti ya mwaka wa 2026/27 iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Hazina ya Kitaifa John Mbadi imeibua hisia mseto miongoni mwa Wakenya. Wengi wakilalamika kuwa bajeti hiyo imeangazia zaidi utoaji wa huduma na maendeleo na kupuuza kumwondolea Mkenya wa kawaida mzigo mzito wa ushuru
Advertisement