Back to home

Serikali yatangaza bajeti ya Sh4.8 trilioni, upungufu wa Sh1 trilioni waibuka

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 11, 2026
2h ago
Hazina Kuu ya Kitaifa imewasilisha bungeni bajeti ya shilingi trilioni 4.8 ya mwaka wa kifedha wa 2026/2027. Katika bajeti iliyosomwa bungeni, serikali imesema inanuiwa kukusanya zaidi ya shilingi trilioni 3.63 kufadhili bajeti yake. Hata hivyo, licha ya juhudi hizo za kukusanya
Advertisement