Back to home
Viongozi wa upinzani wapinga ufadhili kuhusu Ebola
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani kwenye kaunti ya Laikipia washikilia kwamba watapinga mapendekezo yoyote ya kenya kupokea fedha zozote kutoka Marekani ziwe msaada ama mkopo, iwapo zitatolewa kwa masharti kama vile ujenzi wa Karantini ya ebola nchini.
Advertisement
Advertisement





