Back to home
Sekta ya elimu yatengewa shilingi 784.5b
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Wizara ya elimu ni kati ya idara za serikali zipewazo mgao mkubwa zaidi kwenye bajeti ya mwaka wa kifedha. Waziri wa hazina kuu John Mbadi asema mgao huu wapaswa kufanikisha mikakati na malengo ya kulainisha sekta ya elimu ikiwemo nyongeza ya mishahara na ajira kwa walimu 20,000
Advertisement
Advertisement





