Back to home

Elimu na usalama vyapewa mgao mkubwa katika bajeti mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 11, 2026
2h ago
Wizara ya Elimu ni kati ya idara za serikali zilizopewa mgao mkubwa zaidi kwenye bajeti ya mwaka wa kifedha unaoanza. Waziri wa Hazina ya Kitaifa John Mbadi amesema mgao huo unapaswa kufanikisha mikakati na malengo ya kuimarisha sekta ya elimu, ikiwemo nyongeza ya mishahara na aj
Advertisement