Back to home

Matumizi ya bidhaa za tumbaku na nikotini miongoni mwa watoto na vijana yaongezeka

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 12, 2026
3h ago
Muungano wa Ushuru wa Tumbaku na Nikotini nchini (KTNTC) umeonya kuhusu ongezeko la matumizi ya bidhaa za tumbaku na nikotini miongoni mwa watoto na vijana nchini, hali inayogeuka kuwa janga la afya ya umma. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and eve
Advertisement