Back to home
Simanzi yatanda Gilgil katika ibada ya wafu ya wanafunzi 16
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Simanzi nzito na majonzi vilitanda katika uwanja wa Gilgil wakati wa ibada ya wafu ya wanafunzi 16 waliofariki kwenye mkasa wa moto wa Utumishi Girls Academy. Mamia ya waombolezaji waliungana na familia za wanafunzi hao na kueleza vifo hivyo kuwa vya kusikitisha na kuvunja moyo.
Advertisement
Advertisement





