Back to home

Viongozi wa Kenya Kwanza washambulia upinzani, wasisitiza ajenda ya maendeleo

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 13, 2026
2h ago
Nao viongozi wa Kenya Kwanza waliendeleza shutuma zao dhidi ya muungano wa upinzani wakidai kuwa wanawapotosha wananchi badala ya kutafuta suluhu ya changamoto zinazoikabili nchi. Wakizungumza mjini Funyula, viongozi hao wamewataka Wakenya kuangazia miradi ya maendeleo iliyotekel
Advertisement