Back to home
KUPPET yaibua wasiwasi kuhusu joto la kisiasa na usalama wa walimu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Mafunzo ya Ufundi (KUPPET) kimeibua wasiwasi kuhusu joto la kisiasa nchini, huku vurugu zikiripotiwa katika baadhi ya maeneo. Wakizungumza na wanahabari jijini Nairobi, viongozi wa chama hicho wamesema walimu wengi wanahofia usalama
Advertisement
Advertisement





