Back to home
Mwili uliopatikana ndani ya gunia Nyeri watambuliwa kuwa wa Joy Kanini
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Mwili wa mwanamke uliopatikana siku chache zilizopita ukiwa umefichwa ndani ya gunia katika eneo la Ngangarithi, Kaunti ya Nyeri, umetambuliwa kuwa wa Joy Kanini.
Advertisement
Advertisement





