Back to home
Viongozi wa upinzani wataka waandamanaji wa Juni 25 wahakikishiwe usalama
video
C
Citizen TV (Youtube)June 22, 2026
1h ago
Viongozi wa upinzani sasa wanataka washiriki wa maadhimisho ya Juni 25 ya kuwakumbuka vijana waliouawa wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha miaka miwili iliyopita kupewa uhuru na ulinzi wa kutosha. Wakizungumza katika hafla tofauti, viongozi hao wamesisitiza kuwa waand
Advertisement
Advertisement





