Back to home
Mauaji ya mwanafunzi katika taasisi ya mafunzo ya ufundi Thika
video
C
Citizen TV (Youtube)June 23, 2026
2h ago
Familia ya Elizabeth Ngina, mwanafunzi katika taasisi ya mafunzo ya ufundi ya Thika kaunti ya Kiambu, yataka uchunguzi wa haraka na wa kina kufanyika kuhusu mauaji ya kinyama ya binti yao ambaye mwili wake wapatikana katika nyumba ya kupanga eneo la Kiang'ombe mjini Thika.
Advertisement
Advertisement



