Back to home
Uzinduzi wa ambulensi ya tuktuk wagadhabisha wakaazi wa Baringo
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 27, 2026
2h ago
Uzinduzi wa ambulensi, aina ya gari yenye miguu tatu, yaani tuktuk, huko Baringo, umeibua mjadala kuhusu uwezo wake wa kuhudumia eneo lenye miundombinu duni. Gari
lilizinduliwa na Shirika la Dandelion Africa wakishirikiana na serikali ya kaunti.
Subscribe and watch NTV Kenya li
Advertisement
Advertisement





