Back to home
Viongozi kutoka Bangale kaunti ya Tana River wataka serikali ifanye msako wa silaha haramu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 30, 2026
11h ago
Viongozi wa jamii mbalimbali kutoka Bangale kaunti ya Tana River wataka idara ya usalama kufanya msako wa silaha haramu kwenye kaunti hiyo baada ya mapigano ya kijamii kuzuka tena.
Advertisement
Advertisement





