Back to home

Wavuvi wapewa vifaa vya uvuvi Malindi kaunti ya Kilifi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 1, 2026
2h ago
Wanachama 250 wajihusishao na maswala ya uvuvi na uchumi wa baharini kutoka kaunti ya Kilifi wanufaika na vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 12 kutoka mradi wa RedSea .
Advertisement