Back to home
Kaunti ya Kilifi yapata viwanda 14 ndani ya miaka mitatu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2026
3h ago
Katibu katika idara ya uwekezaji na viwanda nchini Abubakar Hassan Abubakar anasema kuwa jumla ya shilingi bilioni 9 zimewekezwa kaunti ya kilifi na wawekezaji katika sekta ya viwanda katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
Akizungumza katika eneo la Sabaki gatuzi ndogo ya Mag
Advertisement
Advertisement





