Back to home

Kaunti ya Kilifi yapata viwanda 14 ndani ya miaka mitatu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 1, 2026
3h ago
Katibu katika idara ya uwekezaji na viwanda nchini Abubakar Hassan Abubakar anasema kuwa jumla ya shilingi bilioni 9 zimewekezwa kaunti ya kilifi na wawekezaji katika sekta ya viwanda katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Akizungumza katika eneo la Sabaki gatuzi ndogo ya Mag
Advertisement