Back to home

Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti afungua wodi ya uzazi hospitalini kyaume

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 3, 2026
1h ago
Serikali ya kaunti ya Machakos yazindua wodi mpya ya uzazi katika hospitali ya Kyaume, wadi ya Tala, hatua itarajiwayo kuboresha huduma salama za uzazi na afya ya watoto wachanga kwa wakazi wa eneo hilo.
Advertisement