Back to home
Kampeni za eneo bunge la Ol Kalou zaendelea kuchacha hata baada ya kafyu kuwekwa kufuatia vurugu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 3, 2026
1h ago
Kampeni za eneo Bunge la Ol-Kalou kaunti ya Nyandarua zimendelea kuchacha hata baada ya kafyu kuwekwa na kamishna wa kaunti kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa kati ya wafuasi wa vyama vya UDA na DCP Jumatano usiku kwenye hoteli moja huko Ol Kalou.
Subscribe and watch NTV Kenya live
Advertisement
Advertisement



